(Go: >> BACK << -|- >> HOME <<)

Nenda kwa yaliyomo

Siriako wa Buonvicino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Sanamu ya Mt. Siriako.

Siriako wa Buonvicino (Buonvicino, mkoa wa Calabria, Italia, karne ya 10 – Buonvicino, 19 Septemba 1030) alikuwa abati maarufu wa wamonaki wa Ukristo wa Mashariki katika Italia Kusini, mfuasi wa Nilo wa Rossano [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Tarehe ya kifo chake ndiyo sikukuu yake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

  • (Kiitalia) Mario Cristiano e Mariangela Giglio, San Ciriaco di Buonvicino, Scalea, La Poligrafica, 2007.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.